BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, December 30, 2010

FRIENDS OF TANGA GET TOGETHER PARTY 2010 NI KESHO!!!

Ukitaka kwenda POPOTE utafika POPOTE.....lakini ukitaka kwenda TANGA, ungana na MARAFIKI WA TANGA siku ya kesho ya tarehe 31/12/2010 katika FRIENDS OF TANGA GET TOGETHER PARTY 2010. Utembelee vivutio vya kitalii huku ukipata kujua mambo mbali mbali mapya yanayohusu mkoa wa TANGA.

Piga namba hii kwa kufanyiwa booking ya usafiri wa kuja TANGA kama upo DAR (0714434452) Kwa wageni wote watakaofika kesho, watapokewa vizuri. Piga namba (0719000010) uje upokewe na upelekwe mahala ambapo MARAFIKI WOTE WA TANGA WATAKAPOFIKIA!! Tumalize mwaka kwa kujenga URAFIKI!

No comments:

Post a Comment