Saturday, September 3, 2011

WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA

Waziri Mkuu, Mizwngo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Kanisa la Anglicana nchini, askofu Mokiwa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga septemba 3, 2011 akielekea Korogwe ambako Septemba 4, 2011 atakuwa mgeni rasmi kwenye ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Mteule Maimba Modlwa wa Dayosisi ya Tanga (Picha na ofisi ya waziri mkuu)




No comments:

Post a Comment