ZUBEDA SEIF MKALI WA KUIGIZA VODACOM MISS TANZANIA
Mrembo Zubeda Seif kutoka Tanga aliyejinyakulia kitita cha Dola 1000 akimnanga muingizaji nguli Jacquline Wolpa wakati wa kutafuta mrembo wa Vodacom Miss Tanzania aliye na kipaji cha uigizaji lililozaminiwa na Kampuni ya Papazi.
No comments:
Post a Comment