BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, September 25, 2009

KILA LA KHERI GLORY CHUWA!!

Mwakilishi kutoka mkoa wa Tanga Glory Chuwa akiwa amepozzz wakati akiwa kwenye kambi ya Miss Tanzania. Watanga wote wanakutakia kila la kheri dada yetu uweze kutuwakilisha vema.

No comments:

Post a Comment