BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, June 30, 2010

MKOLONI ATOA KIONJO CHA UCHAGUZI MKUU 2010

Mkali wa Mashairi aliyeng’ara na Kundi la Wagosi wa Kaya kutokea mkoani Tnaga, Fred Maliki a.k.a ‘Mkoloni’ amegonga topic ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, kwa kutoa kionjo cha wimbo wake mpya ambao unaelezea umuhimu wa viongozi bora.

Mkoloni maarufu kama 'Kinega' kwa sasa, aligonga ‘akapela’ ya verse moja mwishoni mwa wiki mbele ya waandishi wa habari, Makao Makuu ya CHADEMA, mara baada ya kukabidhiwa kadi na katiba ya chama hicho ambacho alijiunga nacho rasmi.



Katika ngoma hiyo, Mkoloni aliwafyatua baadhi ya viongozi ambao wanaendelea kutumbua badala ya kuwasaidia wananchi wao.

Mkoloni alikabidhiwa kadi ya CHADEMA pamoja na mastaa wenzake wa Hip Hop, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Gerald Mwanjoka ‘G Solo’.

TANGA TOWN MCHANA WA LEO!!

Kuelekea tanesco na sigara....

Duga mwembeni

Barabara ya 15....

Club maarufu ya CASSANOVA....

Karibu na four ways

Majestic kwa nje...

Monday, June 28, 2010

AMBONI CAVES TANGA

Amboni caves are the most extensive limestone caves in East Africa. Formed 150 million years ago. Located 8 km north of Tanga City. The beautiful Amboni caves are the product of limestone formation sculptured by nature through fascinating and various colours depicting an underground wonderful World. Visitors to the cave can get a feeling by going into the cave.

A distance of about one kilometer is considered enough to satisfy the visitor’s curiosity. It is daring to walk what is considered to be the whole length of the cave, but no known person has ever discovered the last limits of these natural caves.

Visitors getting a brief in the sitting room of the cave before going into the cave a 45 minutes tour Local legend had it that these caves exit at some point north wards close to mountain Kilimanjaro, then head east wards exiting again at the coast. If one goes further than the known limits legends has it that one should be prepared to cross many underground rivers. The mysterious Amboni caves have different geological features, huge open ground with high ceiling where visitors can rest or picnic.

A scripture of virgin Mary, New York statue of liberty, ancient animals and paintings, animal foot prints. No doubt Amboni caves are one of the world’s greatest underground natural wonders, sculptures which have been produced by natural powers of fascinating limestone formation in a wide variety of colours.

It is a thrill to visit AMBONI CAVES in Tanga Tanzania

PANGANI COAST CULTURAL TOURISM PROGRAMME!!!

Welcome to the land of historical Swahili and Arab culture existing today. Along the coastline of the sparkling blue waters of the Indian Ocean lies the historic town of Pangani. Coral reefs and white sand beaches are some of the natural treasures which await discovery but equally fascinating is the rich culture and tradition which can be experienced with local people..

Pangani offers you:

*Guided walking tours of Pangani town passing through historical buildings which show the Arabic coastal influence

*Visits to a former slave labor camps and slave market site

*Excursions on a fishing boat with fisherman at work

*River cruises through the vast coconut plantations of Pangani

*Chance to snorkel on attractive coral where huge sea turtles roam

Historical Walking Tour

In Pangani, town elders, serve as knowledgeable guides who can impart their vast understanding of Pangani history and culture as they lead you through Pangani town. In 1810, the Arabs constructed the Central Boma building and buried live humans at each pillar in belief that a strong foundation would be formed. Later, German administration used the establishment as a Colonial District office and added a European style roof giving the building a unique appearance. The intricate carved doors and foundation still remain strong and is now used as the District Commissioner’s

Office. Starting from the British Overseas Management Administration (BOMA), guided walks will lead to numerous historical monuments which Pangani is endowed with. Tours include visits to the original slave depots and slave market

where Arabs traded slaves to India and Arabia, the freedom grounds, Islamic and German graves, ancient mosques and traditional houses will give Tourists good insight into the 15th & 16th Century history and culture of Pangani town. Meanwhile artisans proudly display the rich culture and tradition as visits to woodcarvers, basket weavers, carpet, makers, and painters will attest.

Other Activities in the Area

There are numerous activities in Pangani to keep you busy. Sports fishing, swimming, cycling, and snorkeling with

the sea turtles, are some of activities that are also available. They can either be done separately or combined to make your

tour more enjoyable. Also, social evening tours can be arranged according to your interests. Dolphins at Maziwe Island, Beaches and Game Reserves, Hippo pools and green turtles at Madete shall be added to your tours schedule on request.

How to get there

Pangani is situated about 50 km south of Tanga Town along the coast of the Indian Ocean. There are two roads to get in Pangani, via Muheza 44km or Tanga town 53km. Everyday there are five or six buses departing for Pangani from the

main bus stand in Tanga, Shakila, Rahaleo and Doweto are companies operating on our destination. The ride takes 2.5 hours by public transport and the fare is approximately 1,600/= Tshs that can be changed accordingly.

Contact:

0715489129
0787394161
0713935335
0784539141

Friday, June 25, 2010

TONGONI RUINS!!!

Tongoni is a small fishing village 17km south of Tanga in Tanzania. It is famous for the 15th Century ruins of a mosque and forty tombs that are found in the village. Tongoni was a different place four to five centuries ago. Contrary to its almost unnoticed presence today, it was a prosperous and a respected trading centre during the 15th Century.

One tradition claims that Tongoni was established by the Shirazi (people of Persian-origin), who established many Islamic settlements in Eastern Africa such as Kilwa and Mafia. There are also claims that the settlement of Tongoni was once dominated by the Wadebuli tribe, believed to be of Asiatic-origin, coming from Dabhol, off the West Coast of India. Dhabol was a seaport in the 15th Century belonging to the Bahmani rulers of the Deccan. The Bahmani had extensive trading links with Kilwa, then the largest trading centre in East Africa.

Vasco da Gama, the Portuguese sailor, first visited Tongoni in April 1498. He had the opportunity to eat the local oranges, which he said were better than those available in Portugal. He made a second visit the following year, and spent fifteen days in Tongoni.

The ruins at Tongoni are under the Antiquities department. They have been properly excavated and are open to the public. A resident guide, Mr. Job Tengamaso is always available to show visitors around. A more recent ruin of a mosque (of about one hundred years) at the other end of the village, on the beach, can also be visited.

MITAA YA TANGA TOWN LEO ASUBUHI!!!!!!!!

Mitaa ya katikati ya jiji la Tanga leo asubuhi.

Kuelekea chuo cha uwalimu

Nyuma ya uwanja wa mkwakwani.

Shule ya sekondari ya Eckenford

Karibu na ofisi ya mkuu wa jeshi la polisi Tanga.

Barabara ya Jamaa

Karibu na kijiji cha 21 na Uhuru Park

Thursday, June 24, 2010

MCHARUKO WA TALENT- MISS TANGA 2010!!

MWENGE ULIPOTEMBELEA SHIRIKA LA UZIKWASA PANGANI!

Meneja wa Pangani Fm Radio Ismail Mwishashi, akisomna risala kwa kiongozi wa mwenge kitaifa na mkuu wa wilaya ya Pangani Bi Zippora Pangani wakati mwenge ulipotembelea kituo hicho cha redio kinachotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni ambacho kipo chini ya shirika lisilo la kiserikali UZIKWASA (Uzima Kwa Sanaa)

Mwenge ukiwa chini ya ulinzi mkali, punde tu baada ya kuwasili UZIKWASA.

Mwenge!

Mwenge ukiwasili.

Ismail Mwishashi, ambaye ni meneja wa Pangani Fm akitazama kwa makini ujio wa mwenge.

Mimi (Anko Mo), Mr Urasa na dada Rukia wote wa UZIKWASA...tukisubiria mwenge.

Ilikuwa shamrashamra..kaka yangu Joseph hapo na dada Mariam wakiserebuka na mwenge.

Mhasibu wa shirika la UZIKWASA, Mr Tobias akiwa na Dr. Vera ambaye ni Mkurugenzi wa shirika hilo. Kwa nyuso za furaha wakisubiria ujio wa mwenge.

Afisa utamaduni wa wilaya ya Pangani Mr Semnangwa akisema jambo wakati mwenge ukiwasili.

Dr. Vera akiwa na Mr. Urasa.....Urasa ni Meneja wa shirika la UZIKWASA.

Vijana wa mwenge wakitoa burudani.

Mzee mzima Nickson Lutenda kutokea UZIKWASA, akifanya mambo. Kaka hapo alikuwa msema chochote.

Kikundi cha sanaa cha Kumekucha kutokea Madanga kikitoa birudani ya ngoma za asili.

Vijana wa mwenge wakiwasili.

Hiki ndicho kituo cha redio mpya ya Pangani Fm ambacho kinatarajiwa kufunguliwa wilayani Pangani mkoani Tanga.

Wednesday, June 23, 2010

MISS TANGA 2010- SHOW YA MATONYA!

TANGAMANO LEO ASUBUHI!!!

Mchuuzi wa nguo akisubiri wateja kwenye uwanja wa Tangamano leo asubuhi. Tangamano ni sehemu maarufu kwa soko huria jijini Tanga.

Watu mbalimbali hufika Tangamani kwa ajili ya kununua nguo...bei rahisi na nzuri!!

Mwanamaa akipiga mzigo..

Mpende mwanao, mpende mumeo, mpende mke!~! bei poa

Kila kona nguo tu.....

Akina baba nao wamo....

Tuesday, June 22, 2010

AJALI YA MUEMBE KIJIJI CHA 21 JIJINI TANGA!!!

Mti wa muembe ukipakiwa kwenye fuso ukiwa umekatwa vipande baada ya kuanguka na kuziba barabara kwenye eneo la kijiji cha 21 jijini Tanga.

Watu ambao walipewa tenda ya kukata mti huo na halmashauri ya jiji la Tanga wakiusambaratisha mti huo ambao unasemekana ulianguka kutokana na kuzeeka! lol

Hakuna mtu yoyote aliyeumia...ila baadhi ya watu niliozungumza nao walisema kuwa miti ya miembe katika barabara hiyo inaonekana kuzeeka sana, hivyo wanaomba hamlashauri ya jiji la Tanga kuikata ili kuepuka ajali.

Baadhi ya nyaya za umeme zikiwa chini baada ya kukumbwa na dhoruba ya mti huo.

Ilibidi magari na baiskeli kupita pembezoni mwa barabara hadi zoezi la kukata mti huo vipande na kupakiza garini ulipokamilika.