BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, October 13, 2011

WAFUKIWA NA KIFUSI WAKITAFUTA RUPIA WALIKUWA WAKICHIMBA CHOO NDANI, MMOJA AFA PAPO HAPO

Mama Zaina Ramadhani Ambaye Nyumba Yake Kwa Nyuma Aliwaita Watu Watatu Wamchimbie Choo Kwa Ndani (Nyumba Ya Makuti Inayoonekana Nyuma Ya Picha) Watu Hao Walipoanza Kuchimba Wakaeleza Kwamba Wameona Dalili Ya Kuwepo Kwa Rupia Za Kijerumani Hivyo Wakaendelea Kuchimba

Hadi Shimo Likafika Kwenye Nyumba Hii Ya Bati, Ambako Mtu Mmoja Anayeitwa Saleh Wazir Alifukiwa Na Kifusi Humo Ndani Na Kufa Wakati Mmoja Anayeitwa Simon Alifunikwa Lakini Bahati Yake Miguu Yake Ilifunikwa Akawahi Kutolewa Huku Mwenzao Mmja Anayeitwa Otborn Aliwahi Kukimbia Na Kuwaacha Wenzake.

Nyumba Ambayo Shimo Limetokeza Kwa Ndani Na Kuua Mtu Mmoja Huko Mnyuzi

No comments:

Post a Comment