BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, October 13, 2011

KOROGWE WAZINDUA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA TANGANYIKA

Kaimu Mkuu Wa Wilaya Ya Korogwe Methew Nasei Akisaliana Na Wananchi Mara Alipowasili Kwenye Viwanja Vya Magoma Shuleni Kulikofanyika Maadhimisho Ya Uzinduzi Wa Sherehe Za Miaka 50 Ya Uhuru Wa Tanganyika Ambapo Kiwilaya Zilifanyika Magoma Na Kuhudhuriwa Na Watu Wengi

Amanda Wa Jwtz Akiwa Na Kikosi Chake Cha Mgambo Ambacho Kimeanza Mafunzo Katika Kijiji Hicho Cha Magoma Mara Nyini Wana-Mgambo Ni Jeshi La Akiba Ambapo Katika Sherehe Hizo Za Uzinduzi Walinogesha Sherehe Hizo Kwa Gwaride Lao Zuri.

Katibu Tawala Wa Wilaya Ya Korogwe (Kushoto) Akiwa Na Mkurugenzi Mtendaji Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Korogwe Mr. Masembejo Wakiangalia Ratiba Ya Sherehe Za Uzinduzi Wa Sherehe Za Miaka 50 Ya Uhuru Magoma.

No comments:

Post a Comment