BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Sunday, June 7, 2009

FACTORS KUIWAKILISHA TANGA KWENYE MALTA GUINNES STREET DANCE AFRICA 2009!

Vijana wanaounda kundi la Factors, wameweza kuibuka kidedea kwenye mashindano ya Malta Guinnes Street Dance Africa 2009 kwa mkoa wa Tanga. Wakiwa kwenye pozi.



Wakiwa na nyuzo za furaha baada ya kulamba mshiko wa laki sita taslimu toka malta



Factors ambao ni wawakilishi wa Tanga, wakiwa na B12, B dozen wa Clouds Fm punde tu baada ya kutangazwa washindi.



Washkaji nao waliibuka kuwa washindi wa pili- wanaitwa Familia Bora. Walitoka na zawadi ya shilingi Laki tatu. I wish u colud be there madau wangu.


Wakiwa wanyoooonge- HB Group waliibuka washindi watatu huku wakilamba shilingi laki moja.




Yoote tisa- msanii Matonya alipiga show!!


Mtoto wa kitanga, akiwapa raha watanga wenzake.


Home ni Home tu wadau- mzazi alipiga show kwa hisia zote kuhakikisha anawapa burudani watu wake.

Kuuzaska ubingwa wa Malta ilikuwa si kazi ndogo- kundi la Factors likishambulia jukwaa


HB group wakionyesha Styles za ukweli- PLZ DONT TRY THIS AT HOME!!!!! hahahah




Ubunifu na ujanja- vilitawala kwenye stage!~




Waha walitoa fora na staili yao ya kubeba maiti- Mmh hata hivyo waliboa watu kimtindo!!

B12 akisherehesha mashindano hayo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Tanga Hotel maeneo ya Chumbageni.

Panel of Judges, wa kwanza kutoka kulia ambaye ni Chief judge Aloyce Makonde kutokea Cheregrapher Dancer akifuatiwa na Rose kapingu kutokea Cheregrapher Dancer pia mwisho ni Mr Angelo Luhala ni kamisaa Barata la Sanaa Tanzania (BASATA). Walikuwa na kazi nzito!!



Abdul wa Maisha Plus alikuwepo, mwenyeji wake alikuwa Julieth Kulangwa kotokea Mwananchi na pia alikuwa Media Coordinator wa Maisha Plus.

Nje ya ukumbi wa Tanga Hotel- Anko Mo, Abdul pamoja na mdau mwengine wa habari william Mjema.



Zee la nyeti Henri Mdimu akiwa na Anko Mo- it was so good wadau wakikutana sehemu za raha kama hizi.


Jamani eeeh, Malta Guinnes Street Dance Africa 2009 kwa mkoa wa Tanga diyo hiyo imeishia- safari sasa inaelekea Zanzibar. Tunawashukuru Malta kwa ujio wenu, karibuni tena mwakani. nina imani kundi la Factors mtatuwakilisha vyema mkoa wetu wa Tanga- endelea kutembelea blog ya kijanja zaidi nchini Tanzania, Tanga.

No comments:

Post a Comment