BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, June 3, 2009

NANI MKALI KATI YA BESTA, KYLNN NA RAY C..?

Anaitwa Besta- mwanadada ambaye anafanya vizuri sana kwenye ramani ya muziki Afrika Mashariki. Kama wewe ni shabiki wake, mpigie kura ashinde!!




Huyu anaitwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C, aliwahi kutamba na wimbo wake wa MILELE- na staili yake ya kiuno bila mfupa. Kama ni shabiki wake, mpe kura yako.


Aliwahi pia kua miss Tanzania, Jackline Ntuyabaliwe au Kylln. Ukitaka kujua dada huyu ni mkali, sikiliza wimbo wake wa NIPE MKONO. Mpigie kura kama wewe ni shabiki wake.

Kumbuka! Mshindi kati ya dada hawa watatu, utaweza kuona video yake live kupitia blog hii. Mpigie kura mmoja wapo ili apate kushinda. Kura zote zitumwe kupitia E-mail ambayo ni

ankomo25@yahoo.com

No comments:

Post a Comment