BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, May 28, 2009

MR. PAUL AZIDI KUNG'AA NCHINI AUSTRALIA!!


Ikiwa ni muda sasa tangu atimkie nchini Australia ambako ameweka makazi kwa sasa,msanii wa miondoko ya RnB & Zouk....Paul Mbena a.k.a Mr Paul amerudi kwenye mapambano ya muziki kama alivyoahidi siku kadhaa zilizopita.

Paul ambaye yuko ktk jiji la Melbourne,tayari ameshakamilisha nyimbo mbili alizozitaja kuwa 'Nakutamani' na 'Malaika wa Moyo wangu' zilizo kwenye mahadhi ya Afro Funk, na kudai kuwa track hizo ndizo zitakuwepo kwenye mradi uitwao 'Multicultural Art Victoria Visible CD', mradi ambao unajumuisha wanamuziki wa mataifa na mitindo mbalimbali yeye akiwa kama Project Officer.

Hongera kaka!

No comments:

Post a Comment