BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, October 7, 2009

HONGERA LADY JAY DEE- WEWE NDIO MKALI WA VIJIMAMBO VYA TANGA!!

Katika shindano la NANI MKALi lisilo la rasmi lililokuwa likiendeshwa na blog hii, likiwa linawapambanisha wanadada wanamuziki kutokea nchini Tanzania ambao ni Keisher, Kylnn, Jay dee na Nakaaya limefikia tamati leo na mwanadada Lady Jay Dee ameibuka kuwa mshindi.

Kura zilizopigwa na wadau wa blog hii ni 36, ambapoo Kylnn alipata kura 3 akiwa na asilimia 8 akifuatiwa na Nakaaya aliyetoka na kura 6 huku Keisher akishika nafasi ya tatu kwa kuwa na kura 9. Lady Jay Dee ndie ameibuka kidedea kwa kupata kura 20.

Jamani- mpambano huu haukuwa rasmi, ilikuwa ni katika kuwafanya wadau wa blog hii wapate chachu ya chakusema kupitia VIJIMAMBO VYA TANGA!! Kila la heri wajamaeni





No comments:

Post a Comment