BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, March 31, 2009

MISS TANGA CITY CENTER MWAKA 2009

Anaitwa Zena Kassim, ni mmoja kati ya wakurugenzi wa Miss Tanga City Center.

Huyu anaitwa Fatuma Makoko, nae ni mkurugenzi wa Miss Tanga City Center.
Kwa pamoja ndio wanaunda ZEFA Promotion, ambayo ndio inasimamia Miss Tanga City Center kwa mwaka wa 2009

Hapa wakiwa na wasimamizi wengine wa mashindano hayo ambayo kwa pamoja wamedai kumtoa Miss Tanga na hata Miss Tanzania. Kulia ni Don Chill na aliyesimama kushoto ni Khaleed.


Ukisikia Tanga Raha ndio hii, huyu anaitwa Pili Miraji ni mwalimu wa walimbwende wanaowania taji la Miss Tanga City Center


Umeshawahi kusikia SOFIA PRODUCTION..? Huyu ndie mmiliki wake, anaitwa Aisha Kisoky- Ndie mdhamini wa mashindano ya Miss Tanga City Center

Mama Sofia Production akiwa na mmoja wa wakurugenzi wa mashindano ya kumsaka mrembo wa Miss Tanga City Center


SASA WATAZAME WAREMBO WAO



Anaitwa Leyla Issa. Umri wake miaka 18, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009

Anaitwa Salome William. Umri wake ni miaka 18, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009


Anaitwa Agnes Sambo. Umri wake ni miaka 21, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009



Anaitwa Rachel Mlaki. Umri wake ni miaka 20, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009


Anaitwa Martha Moses. Umri wake ni miaka 18, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009


Anaitwa Neema Komba. Umri wake ni miaka 19, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009

Anaitwa Ester Flavian. Umri wake ni miaka 19, ni mshiriki wa Miss Tanga City Center mwaka 2009

No comments:

Post a Comment