BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, February 1, 2011

BWANA MISOSI ATOA SHUKRANI!

Align CenterMsanii wa muziki wa kizazi kipya kutokea Tanga Bwana Misosi ametoa shukrani zake kwa wale wote waliokuwa nae bega kwa bega katika msiba wa baba yake mzazi......."Mambo vipi ndugu wapendwa, napenda kutoa shukrani zangu kwa wote waliojitokeza kwenda kumpumzisha baba yangu kwenye shamba la mungu (Nyumba ya Milele) na wote tulioshirikiana kwa namna moja au nyingine katika kipindi hiki kigumu na shukrani zangu za dhati ziende kwa PROF JAY, FID Q, CHIEF RUMANYIKA (SOGGY DOGGY), ABDALAH MWAIPAYA na DR CHENI na hata waloshindwa fika ila kwa upendo walitoa pole zao.
Tunatoa shukrani na ahsante kama wanafamilia na Mungu awabariki sana.

No comments:

Post a Comment