BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, August 16, 2011

COASTAL UNION KUKUTANA JUMAPILI



KLABU ya soka ya Coastal Union ya Tanga Agosti 13 inatarajia kufanya mkutano mkuu kwa ajili ya kukusanya na kuzungumza na wanachama kupanga mikakati itakayoifanya timu hiyo kung’ara kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Hemed Aurora alisema pamoja na mambo mengine madhumuni ya mkutano huo ni kuzungumza na wanachama ili kupanga mikakati ya kuhakikisha timu yao hiyo inafanya vizuri kwenye Ligi Kuu.


(Gari ya Coastal Union)


Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2011/2012 inatarajiwa kuanza Agosti 20 katika viwanja mbalimbali nchini ambapo Coastal Union watashuka dimbani kucheza na Mtibwa Sugar

No comments:

Post a Comment