Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Hemed Aurora alisema pamoja na mambo mengine madhumuni ya mkutano huo ni kuzungumza na wanachama ili kupanga mikakati ya kuhakikisha timu yao hiyo inafanya vizuri kwenye Ligi Kuu.

(Gari ya Coastal Union)
Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2011/2012 inatarajiwa kuanza Agosti 20 katika viwanja mbalimbali nchini ambapo Coastal Union watashuka dimbani kucheza na Mtibwa Sugar
No comments:
Post a Comment