BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, August 19, 2011

JENGO LA WATU WENYE VVU NA UKIMWI LAZINDULIWA BOMBO TANGA

Mganga Mkuu Wa Mkoa Wa Tanga Dkt Ally Uledi Akisoma Risala Katika Ufunguzi Wa Jengo La Kliniki Ya Matunzo Na Matibabu Ya Watu Wenye Vvu Na Ukimwi Katika Hospitali Ya Bombo Mkoani Tanga.



Baadhi Ya Watu Mbalimbali Waliofika Kwenye Uzinduzi Huo Wa Kliniki Hiyo Ya Wagonjwa Wa Vvu Na Ukimwi Wakiwemo Waandishi Wa Habari Ambapo Kushoto Ni Lulu George Wa Nipashe Na Anyefuata Ni Fatma Matulanga Wa Tbc.

Mwakilishi Wa Shirika La Kimaraekani Cdc Dkt Stefan Wiktor Akitoa Salamu Kutoka Kwa Watu Wa Marekani Ambao Wamefadhili Mradi Huo Wa Ujenzi Wa Jengo Hilo Katika Hospitali Hiyo Aliteinama Ni Waziri Wa Fya Dkt Hadji Mponda Na Pembeni Yake Ni Katibu Tawala Wa Mkoa Wa Tanga Bw. Benedictor Ole Kuyan.


Meya Wa Jiji La Tanga Bw. Omari Guledi Akihitimisha Uzinduzi Huo Kwa Kueleza Kwamba Ili Kuondoa Mrundikano Wa Wagonjwa Kaika Hospitali Hiyo Ya Bombo, Halmashauri Ya Jiji La Tanga Wapo Mbioni Kujenga Hospitali Ya Wilaya Eneo La Masiwani.



Picha zote na Mashaka Mhando

No comments:

Post a Comment