BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, June 24, 2011

GRAND MALT TANZANIA OPEN FILM FESTIVAL NI JUNI 27 JIJINI TANGA

Kulia ni Mkurugenzi wa Sofia Production Musa Kissoky akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa habari maelezo kuhusu Tamasha la wazi la filamu nchini Tanzania litakalojulikana kama (Grand Malt Tanzania Open Film Festival) lililopangwa kuanza tarehe 27 Juni hadi Julai 3 Mwaka huu mjini Tanga. Katikati ni Meneja Masoko TBL Fimbo Butallah na Kushoto ni Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt Bi. Consolata Adam.

No comments:

Post a Comment