BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, June 2, 2011

HAWA NDIO WATAKAOIWAKILISHA TANGA KWENYE SERENGETI FIESTA FILAMU!

Kutoka kushoto LEAH MASAMBAJI, (ZAMARADI MKETEMA), ATU JAMES, FARIDA ABDALLAH pamoja na LUKEI PENTZEL.. hao ni baadhi ya waliopatikana katika mkoa wa TANGA kupitia Serengeti Fiesta Filamu ambapo ilikuwa ni mchakato wa kutafuta vipaji vipya kabisa kwenye swala zima la filamu.

Wakiwa katika picha ya pamoja- (Picha kwa hisani ya blog ya Zamaradi Mketema)

No comments:

Post a Comment