BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, June 7, 2011

WAZIRI MKUU AKITETA JAMBO NA MBUNGE WA VITI MAALUMU MKOANI TANGA MJINI DODOMA

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiteta jambo nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (Walemavu) Mh. Al.Shaymaa Kwegyir mara baada ya kutoka kwenye kipindi cha maswali na majibu kwenye mkutano wa nne wa Bunge la Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012. (Picha kwa hisani ya Michuzijr)

No comments:

Post a Comment