BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, April 20, 2009

KILIMANJARO IPO JUU - USIPIME!!

Wanamuziki Justin Timberlake,MC Lupe Fiasco na Kenna(huyu ana asili ya Ethiopia) kutoka nchini Marekani,wanatarajiwa kupanda Mlima Kilimanjaro baadaye mwaka huu katika kile kinachoelezewa kuwa kampeni ya kuelimisha na kuhamasisha masuala ya mazingira na upatikanaji wa maji safi duniani.

Huu ni wakati mwingine mzuri wa kutangaza utalii wa Tanzania.Kama ulivyo wewe,mimi pia nangoja kuona jinsi ambavyo Wizara ya Utalii,Bodi ya Utalii na Mamlaka za Hifadhi zitakavyochangamkia nafasi hii katika kuitangaza Bongoland.



Itakuwa mzuka kumuona mtu mzika Timberlake akikwea Mlima


No comments:

Post a Comment