
Huu ni wakati mwingine mzuri wa kutangaza utalii wa Tanzania.Kama ulivyo wewe,mimi pia nangoja kuona jinsi ambavyo Wizara ya Utalii,Bodi ya Utalii na Mamlaka za Hifadhi zitakavyochangamkia nafasi hii katika kuitangaza Bongoland.
Kwa maelezo zaidi Bonyeza hapa http://www.okayplayer.com/news/Kenna-Lupe-Fiasco-Justin-Timberlak-to-Climb-Mount-Kilimanjaro-For-Charity.html

Itakuwa mzuka kumuona mtu mzika Timberlake akikwea Mlima
No comments:
Post a Comment