BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, April 30, 2009

MABOMU YA MBAGALA BADO KITENDAWILI



Eti wanaomba samahani!! Je watarudishaje roho za watu zilizopotea kwa mabomu kule Mbagala..? Inauma sana mjomba- Iliobaki sasa hizi kambi ni bora tufugie kuku, tupate mayai na nyama labda ndilo tutaloliweza!! Vibaka, vibaka wameingia kwenye nyumba za wahanga nna kuiba vitu vyao.....Aah wangefanya nini ikiwa hawajui kesho yao.? Natania tu Mjomba, ila nikipata nauli nitakuja kutoa pole na rambi rambi.


Wananchi wa mbagala kizuiani wakishangaa mabaki ya bomu lililoruka kilometa karibu nne, na kutua uraiani hapo.mpaka sasa ilitangazwa kuwa watu watatu walifariki huku wakiacha watu zaidi ya 70 wakiwa majeruhi.


Baadhi ya watu wakitoka kwenye maofisi yao baada ya waziri kutangaza hali ya hatari na kuamuru watu wote washuke kutoka magorofani.

No comments:

Post a Comment