BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, April 6, 2009

WAJUE WASHINDI WA TUZO ZA KILI AWARDS 2009

Chid Benz a.k.a King Kong pembeni na msanii kutoka nchini Marekani Chingy, alipomkabidhi msanii huyo tuzo ya wimbo boea wa Hip Hop ( Dar Stand Up ).


Makamua, Joslin pamoja na Q Jay wakifurahia kwa pamoja tuzo yao baada ya wimbo wao wa Natamani kuwa wimbo bora wa RnB


WASHINDI WENGINE NI PAMOJA NA.....


Mwimbaji Bora wa Kike- Keisha(pichani)
Mwimbaji Bora wa Kiume- Mb Dogg
Albamu Bora ya Taarab- VIP( Jahazi Modern Taarab)
Wimbo Bora wa Taarab- VIP(Jahazi Modern Taarab)
Wimbo Bora wa Mwaka- Anita (Matonya ft Lady JayDee)
Wimbo Bora wa Kiswahili- Heshima kwa Mwanamke (FM Academia)
Albamu Bora ya Kiswahili- Pekecha Pekecha(Akudo Impact)
Wimbo Bora wa R& B- Natamani (Q Jay ft Makamua & Joslin)
Albamu Bora ya Muziki Asilia- Dela Dela( Che Mundugwao)
Wimbo Bora wa Hip Hop- Ngoma Itambae(Chid Benz)
Wimbo Bora wa Reggae- Ripoti (Tunda Man)
Msanii Bora wa Rap- Mangwea
Wimbo Bora wa Afrika Mashariki- Salary(Nameless from Kenya)
Mtunzi Bora wa Muziki- Karama Legesu
Mtayarishaji Bora wa Muziki- Hammie B
Mwandikaji Bora wa Muziki- Prof.Jay
Wimbo Bora wa Zouk- Nalivua Pendo(Mwasiti)
Mtayarishaji Bora wa Video- Kallaghe Production
Wimbo Bora wa Collaboration- Anita (Matonya ft Lady Jaydee)
Wimbo Bora wa Asilia- Kazi ya Dukani(Dogo Mfaume)






No comments:

Post a Comment