BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, April 3, 2009

CHINGY KUKAMUA 'LIVE' TANZANIA



Msanii nyota wa Marekani, Chingy atapanda jukwaani katika
viwanja vya Leaders Kinondoni Machi 5 mwaka huu katika
tamasha la la Tuzo za muziki nchini za Kili Music Award
2009.


Msemaji wa onyesho hilo Hemed Kavi (HK) aliiambia blog hii
kuwa, wameamua kumleta msanii Howard Bailey Jr maarufu kama
Chingy ili kuleta ladha kwa wadau wa tuzo hizo nchini.
Tuzo za Kili Music Awards hutolewa kila mwaka nchini,
zinatolewa tena mwaka huu ambapo halfa hiyo inatarajiwa
kuhudhuliwa pia na wasanii wengi kutokea nchini Tanzania.

Mbali na Chingy lakini pia wasanii wa kundi zima la Blue 3
kutokea nchini Uganda linatarajiwa kutumbuzia siku hiyo
halikadhalika mzee wa Salary, Nameless kutokea nchini Kenya
nae atakuwepo.

No comments:

Post a Comment