BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, April 9, 2009

MMOJA WA AKINA DADA WANAOVUTIA KIMAPENZI TANZANIA- IRENE UWOYA


Irene Uwoya ambaye anashikilia taji la Miss Tanzania 4th Runner up 2006-07. Hivi sasa anajishugulisha na maswala ya filamu nchini Tanzania, vile vile ni mdau mkubwa wa mikao ya kimahaba. Kama utakuwa ni mtazamaji mzuri wa filamu za kitanzania, basi utakuwa unamfahamu vyema mwanadada huyu.


Mfano mtazame kwenye filamu inayoitwa Diversion Of Love jinsi ambavyo amevaa husika na namna alivyokuwa akijituma kuhakikisha hapwai sehemu yake. Huyu nye Irene Uwoya, mmoja wa akina dada wanaovutia kimapenzi nchini Tanzania.

JE TUTAFIKA KWELI KWA MTINDO HUU DADA YETU IRENE..?

1 comment:

  1. irine nakuomba vaa vizuri ndoa za watu zidumu.by mwambuli frank

    ReplyDelete