BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, July 15, 2010

MUHEZA HIYO MZEEEEEEEEEEEEEE!!!

Restaurant maarufu wilayani Muheza WHITE HOUSE! Ipo barabarani kabisa.

Kituo cha kuweka mafuta.....ipo kona ya kuingia stendi kuu ya mabasi.

Mgahawa....

Kuelekea Amani....

Mchuuzi wa machungwa....twende kazi!!

Boda boda za pikipiki kila kona ya muheza na Tanga nzima.

Hapa ni kona ya kuingia stendi kuu kama ukitokea Segera.

Mitaa ya Muheza..

No comments:

Post a Comment