BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Saturday, July 17, 2010

BAADA YA 'FIMBO YA BABA' UZIKWASA KUJA NA FILAMU NYENGINE!

Film Coordinator wa shirika la UZIKWASA Bi Rehema Kilapilo akiwa makini wakati wa mazoezi ya filamu mpya inayotengenezwa na shirika hilo lisilo la kiserikali. Mazoezi hayo hufanyika Pengadeco kila siku ili kuwaweka wasanii kabla hawajaanza kurekodi. Kabla ya kuja na filamu hii UZIKWASA (Uzima Kwa Sanaa) yenye maskani yake wilayani Pangani mkoani Tanga, ilishawahi kuandaa filamu nyengine hapo awali iliyoitwa FIMBO YA BABA na kufanikiwa kupata tuzo.

Msanii maarufu nchini Vitalis Maembe ni mmoja wa washiriki wa filamu hiyo mpya. Hapa akiwa kwenye mazoezi na mwanadada.

Dokta Hatar ambaye ni mmoja wa waongoza filamu hiyo, akiwa katika hatuo za mwisho za kuwasimamia wasanii ambao wamepata nafasi katika filamu.

Wasanii mazoezini.

Wasanii wakipiga tizi huku Dokta Hatar akiwasimamia.

Vitalis Maembe

Rehema, Bura, Chande wa TVZ na dada mwengine wakijadiliana jambo wakati wasanii wengine wakiendelea na mazoezi.

Wasanii wakiwa wametulia kwenye viti vyao wakiwatazama wenzao wanavyofanya zoezi.

Baadhi ya washiriki wa filamu hiyo mpya.

Wasanii wakipewa maelezo.

No comments:

Post a Comment