Mkali wa Hip Hop kutokea Tanga R.O.M.A akikamua vilivyo usiku wa kuamkia jana kunako show ya Fiesta jipanguse iliyofanyika kwenye uwanja wa Mkwakwani hapa jijini Tanga. Fiesta huja kila mwaka na huandaliwa na kituo cha redio cha Clouds Fm.
Mkali wa Hip Hop kutokea Tanga R.O.M.A akikamua vilivyo usiku wa kuamkia jana kunako show ya Fiesta jipanguse iliyofanyika kwenye uwanja wa Mkwakwani hapa jijini Tanga. Fiesta huja kila mwaka na huandaliwa na kituo cha redio cha Clouds Fm.
No comments:
Post a Comment