BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, July 16, 2010

TANGA YETU YA LEO!!!!!

Chuo cha kiislam cha Zahrau cha jijini Tanga, kipo eneo la madina njia ya kwenda Sahare.

Eneo la soko la Ngamiani.

Soko la Ngamiani...wananchi wa Tanga wakiwa kwenye mahitaji yao ya kila siku.

Karibu na stendi kuu ya mabasi.....sehemu ya kuingia.

Taifa Road.......moja kati ya njia kuu inayopitiwa na barabara za namba zote.

Reli za Tanga zinavyoonekana sasa.

Bodaboda wa baiskeli Tanga kibao......hapa ni kituo cha reli.

Makutano ya barabara kutokea Chumbageni polisi...

Hapa ni eneo maarufu sana...linajulikana kama Tawakal! Tende Shake utazipata hapa

No comments:

Post a Comment