BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, July 5, 2010

MWAMBAO FM- KITOVU CHA BURUDANI JIJINI TANGA!!

Mtangazaji mahiri wa redio Mwambao ya jijini Tanga Benedict Kaguo akiwa studio. Kaguo ni mkali kwenye maswala ya habari na pia anatangaza kipindi cha ZILIPENDWA kila jumamosi jioni.

Sekei Hassan a.k.a Dj Passion utampata kwenye Tanga Flava, Tz Most Wanted na Indian Flava.

Mamaa Leyla Totii a.k.a Top In Town....utampata kwenye Jipe Raha mambo ya taarab na miduara.

Keisha Ridhwan....moja kati ya watangazaji mahiri ndani ya Mwambao Fm. Utampata kwenye Misosi 'Meza Ya Chakula na Vinywaji'

Wa kwanza ni Fatuma Rajab- utampata kwenye Ukimwi Na Jamii. Akiwa na Sekei Hassan na Leyla Totii

Benedict Kaguo na Leyla Totii wakiwa studio. Hawa ni baadhi tu ya watangazaji wa redio Mwambao Fm. Wapo wengi...endelea kutembelea Blog utakuja kuwaona.

No comments:

Post a Comment