BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, July 12, 2010

STENDI KUU YA MABASI KOROGWE- BADO IPO KWENYE MATENGENEZO!!

Stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoni hapa wilayani Korogwe bado ipo kwenye matengenezo. Stendi hiyo maarufu kama Manundu, inatarajiwa kumaliziaka hivi karibuni.

Katapila likiwa kwenye utengenezaji wa stendi hiyo.

Kwa sasa stendi imehamishiwa huku eneo la Babylon ama Mwembeni.

Stendi ya Korogwe kwa sasa

Harakati huwa haziishi maeneo ya stendi

Korogwe hiyo!

Hapa ni karibu na stendi ambayo ipo kwenye matengenezo kwa sasa, Manundu

No comments:

Post a Comment