BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Sunday, July 25, 2010

HILDA MTENZI AFARIKI DUNIA!

Aliyekuwa mtangazaji wa TBC mkoani Tanga Hilda Mtenzi amefariki dunia jana akiwa anasumbuliwa na kichwa ama hakika dada yetu ameacha pengo kubwa katika shirika la utangazaji nchini .

Marehemu anatarajiwa kuagwa leo mchana katika hospitali ya Taifa Muhimbili. Anko Mo Blogspot inatoa pole kwa ndugu na marafiki wote wa marehemu.

No comments:

Post a Comment