BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, May 2, 2011

KUNDI LA DANSI LA ICE CREAM KUIWAKILISHA TANGA KWENYE FIESTA 2011!

Kundi la Ice Cream likiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuibuka vinara wa msimu wa dhahabu unaoendelea na Serengeti dansi la fiesta ndani ya ukumbi wa Club Lacasa Chica hapa jijini Tanga.

Mratibu wa mchakato wa Serengeti dansi la Fiesta 2011 Sebastian Maganga akiwahoji kundi la Ice Cream mara tu baada ya kutangazwa washindi. Kundi hilo litapata nafasi ya kushiriki kilele cha juu kabisa cha msimu wa dhahabu unaoendelea na Serengeti Fiesta jijini Dar es salaam hapo baadae.

Baadhi ya watazamaji waliojitokeza kushuhudia nani ataibuka kidedea wa dansi na Serengeti la Fiesta 2011

Majaji wakijadiliana jambo. B Dozen, Issa Kwisa pamoja na Msami kutoka THT. Kwa picha zaidi BONYEZA HAPA


No comments:

Post a Comment