BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Sunday, May 1, 2011

MISS COLLEGE TANGA NI TAREHE 13

Mashindano ya kumsaka mnyange wa Miss Tanga 2011 jijini Tanga yamezidi kupamba moto kila kona. Baada ya Miss Tanga City Central kuwapata wawakilishi wao kunako kambi ya Miss Tanga na sasa kitafuatia kitongoji cha Miss College ambacho mbwembwe zake zitaonekana siku ya Ijumaa ya tarehe 13. Itafanyika wapi na wasanii gani watakuwepo!!? Endelea kutembelea Blog na utajua hayo muda sio mrefu.....

No comments:

Post a Comment