BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, May 18, 2011

SIKILIZA TANGA FM RADIO KWA NJIA YA INTERNET!


Habari zenu wadau wa VIJIMAMBO VYA TANGA! katika kuboresha na kuwaweka karibu zaidi na mkoa wa Tanga, blog hii imeamua kuanzisha redio inayoitwa TANGA FM RADIO itakayokuwa inakupa habari moto moto kutokea mkoani hapa halikadhalika burudani za kukata na shoka. Uwamuzi wa kuanzisha redio hii ni katika kuboresha blog ili mpate kuhabarika zaidi.

Anza sasa kusikilia TANGA FM RADIO kupitia internet yako popote pale ulipo (dunia nzima). Kuisikiliza, tazama hapo juu upande wa kulia kisha bonyeza kwenye kitufe cha njao! Nakaribisha maoni na ushauri, piga simu +255719000010 au nitumie e-mail kupitia ankomo25@yahoo.com KARIBUNI WOTE!

No comments:

Post a Comment