Rose Muhando
Sema nani mkali kwa urembo na kuimba nyimbo za injili, tuma kura yako kwenye namba 071900010 au E-mail jmihiko@yahoo.com
Rose Muhando
Sema nani mkali kwa urembo na kuimba nyimbo za injili, tuma kura yako kwenye namba 071900010 au E-mail jmihiko@yahoo.com







Mkurugenzi wa Benchmark waandaaji wa Bongo Star Seach Ritah Paulsen (Pichani) akizungumza na wanahabari katika mako makuu ya Vodacom jengo la PPF Tower wakati alipoongea na wanahabari kuelezea juu ya shindano la BSS linalotarajiwa kufanyika jumamosi na jumapili mkoani Dar es alaam kulia ni Nector Foya meneja mawasiliano Vodacom.

Wanamuziki Justin Timberlake,MC Lupe Fiasco na Kenna(huyu ana asili ya Ethiopia) kutoka nchini Marekani,wanatarajiwa kupanda Mlima Kilimanjaro baadaye mwaka huu katika kile kinachoelezewa kuwa kampeni ya kuelimisha na kuhamasisha masuala ya mazingira na upatikanaji wa maji safi duniani.



JE TUTAFIKA KWELI KWA MTINDO HUU DADA YETU IRENE..?
Jina lake ni Albert Mangwea. Kwa mashabiki wa muziki wa kizazi kipya ukimuita Ngwea watakuelewa zaidi. Hivi majuzi alijishindia tuzo ya Kili Music Award kama Best Hip Hop Artist in Tanzania akiwashinda wakali wengine kama Fid Q, Chid Benz, Mwana FA na Witness.
Chid Benz a.k.a King Kong pembeni na msanii kutoka nchini Marekani Chingy, alipomkabidhi msanii huyo tuzo ya wimbo boea wa Hip Hop ( Dar Stand Up ).
Makamua, Joslin pamoja na Q Jay wakifurahia kwa pamoja tuzo yao baada ya wimbo wao wa Natamani kuwa wimbo bora wa RnB
Mshkaji anaitwa William J Lisingu, ni muanzilishi wa Untouchable Dj's ambayo kwa hivi karibuni imekuwa ikija juu sana kwenye anga za burudani ukizingatia ubunifu aliokuwa nao jamaa pamoja na ujuzi.

