BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, March 28, 2011

MOMBO WALIVYOKABIDHIWA GARI LA KUBEBEA WAGONJWA!

Gari la kubebea wagonjwa jipya kabisa lililokabidhiwa uongozi wa kituo cha afya cha Mombo wilayani Korogwe na uongozi wa Hoteli maarufu ya Liverpool iliyopo katika mji huo mdogo wa Mombo.

Mkuu wa mkoa wa Tanga ndie alikuwa mgeni rasmi siku hiyo katika hfla ya kukabidhi gari hilo la wagonjwa. Pichani akijaribu kuliwasha kama ishara ya kulizindua huku mkurugenzi wa hoteli ya Liverpool akiangalia.

Mkuu wa Mkoa na Mukrugenzi wa Liverpool wakipongezana mara baada ya gari hilo kuwa sawa. Watatu kutoka kulia ni mbunge wa Korogwe vijijini PR Maji Marefu.


No comments:

Post a Comment