BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, March 16, 2011

MH. NUNDU ALIPOTEMBELEA BANDARI YA TANGA

Mbunge wa jimbo la Tanga mjini na pia waziri wa Uchukuzi Mh. Omari Nundu (Kushoto) na Mkurugenzi wa mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) Bw. Ephream Mgawe, wakisiliza wafanyakzi wakitoa malalamiko yao juu ya ufanisi wa kazi za Bandari ya mkoani Tanga

Wafanyakazi wa Bandari ya Tanga wakiwa makini wakimsikiliza Mh. Nundu

Mmoja wa wafanyakazi hao akitoa malalamiko yake juu ya Bandari hiyo ambayo. Mfanyakazi huyo alidai kuwa mamlaka ya mapato (TRA) mkoani Tanga imekuwa kikwazo kikubwa cha Bandari hiyo ishindwe kufanya kazi kwa kuwanyanyasa wafanyabiashara.

Picha zote na Mashaka Mhando

No comments:

Post a Comment