BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, March 15, 2011

TANGA LIFE NI MAJI SAFI YA KUNYWA KUTOKA TANGA!

Hivi karibuni katika pita pita zangu, nikakutana na maji haya ya TANGA LIFE. Binafsi nilifarijika sana kuona mkoa wetu wa TANGA una maji yake ya chupa ya kunywa. Hapa kulikuwa kwenye semina fulani katika Hostel ya Mwekasu. Chupa za maji zilizokuwa hapo zilinywewa zote. Na mimi nikapewa moja ninywe. Maji yalikuwa safi sana. Kama upo Tanga yatafute maji haya uyanywe, na kama wewe unatarajia kuja Tanga, basi usiache kunywa maji haya ukifika.

Huu ndio ujazo wa chupa ya maji ya TANGA LIFE!

1 comment: