BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, March 17, 2011

UNAIKUMBUKA HII!!? ENZI HIZO MABAUNSA WA TANGA

Washindi wa shindano la kumtafuta Mt. Tanga enzi hizo. Kutoka kushoto Emmanuel Kaini (Mshindi wa pili)...Kaini amewahi kuwa maarufu sana kwa uchezaji filamu za kibabe. Ikiwa ni pamoja na UNGA ADUI, SHAMBA KUBWA na nyingine nyingi. George Adolf (Mshindi wa kwanza) na Maxwell Masabo (mshindi wa tatu)

No comments:

Post a Comment