BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, March 2, 2011

MPIGIE KURA TOP C SASA

Mpigie kura Top c awe msanii mpya anayechipukia kwenda namba 15747. Sehemu ya kuandikia ujumbe wako unaanza kuandika V125 kisha unatuma kwa namna 15747

Msanii mpya anayechipukia ::

Bob Junior
Sajna
Linah
Sam wa ukweli
Top C V125


Mpigie tena kura Top c ili wimbo wake 'Ulofa' uwe wimbo bora wa Zouk/Rhumba kwenda namba 15747. Sehemu ya kuandikia ujumbe wako unaanza kuandika Y181 kisha unatuma kwa namna 15747. Au kupiga kura kwa njia ya Internet BONYEZA HAPA


Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba ::

Sina Raha -Sam
Ulofa- Top C Y181
Nabembelezwa - Barnaba
Bado Robo Saa - Amini
Bora Nikimbie -Linah

No comments:

Post a Comment