BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, March 14, 2011

OFFSIDE TRICK WAFANYA KWELI TANGA!

Kundi la muziki wa kizazi kipya kutokea Zanzibar linalojilikana kama Offside Trick limekonga nyoyo za mashabiki wake pale walipofanya show ya uhakika kunako klabu ya Pweza iliyopo jijini hapa. Show hiyo ambayo ilikuwa ya aina yake, ilihudhuriwa na watu wengi huku wakisindikizwa na msanii mkali wa zouk kutoka Tanga, Sudy G!

Akina dada hawa walijimwaga vya kutosha. Hapa kitu cha khanga tu.

Klabu ya pweza ilikuwa haitoshi.

Vijana wa Offside Trick wakitoa burudani kwa mashabiki wao.

Masele a.k.a Ahmada alikuwepo kutoa burudani pia.

No comments:

Post a Comment