BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, April 28, 2011

HABARI NJEMA KUTOKA TIGO KWA WAKAZI WA TANGA!


"Ukiwa TANGA kwa siku ya jumamosi ya tarehe 30/04/2011 karibu kwenye viwanja vya TANGAMANO ujionee tamasha la BUREE lililosheheni wasanii wakali kama 20 Percent, Juma Nature, Roma kutoka nyumbani TANGA pamoja na Afande Sele. Simu zitauzwa kwa BEI NAFUU na utapata nafasi ya kujisajili na TIGO PESA! Wote mnakaribishwa!

No comments:

Post a Comment