BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, November 24, 2009

ALBAMU HAZILIPI BONGO- ASEMA DULLY

Ukipenda muite Handsome, Mr Misifa anakwenda kwa jina la Dully Sykes mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipyaa,ameibuka na kusema kwamba hatarajii wala kutegemea kutoa albam tena kwakuwa albam hazilipi.

Dully aliweka bayana baada ya kumtwanga na swali la kwamba lini ataachia albam na kusema ya kwamba kwake misumari itakuwa ni kuachia wimbo baada ya wimbo na sio kutengeneza albam.

“Albam hazilipi,siwezi kukaa chini na kufiki kutengeneza albam,nitakuwa naachia nyimbo zangu kama navyofanya sasa” alisema Star huyo anayetamba na nyimbo zake kali kama vile Shekide.

No comments:

Post a Comment