
Dully aliweka bayana baada ya kumtwanga na swali la kwamba lini ataachia albam na kusema ya kwamba kwake misumari itakuwa ni kuachia wimbo baada ya wimbo na sio kutengeneza albam.
“Albam hazilipi,siwezi kukaa chini na kufiki kutengeneza albam,nitakuwa naachia nyimbo zangu kama navyofanya sasa” alisema Star huyo anayetamba na nyimbo zake kali kama vile Shekide.
No comments:
Post a Comment