BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, November 26, 2009

JB MPIANA KUFANYA ONYESHO TANZANIA

Kwa mujibu wa Secretary General Mbuta Kisolokele tayari jb mipana ameachia single ya generic kutoka katika album yake mpya ya Kis, "Be serious" ambayo inamjumuisha huyo kuingia Tanzania kwa show mwezi ujao .

Jean-Bedel Mpiana Tshituka ni miongoni mwa wanmuziki wanao subiriwa kwa hamu kubwa sana na mshabiki wake wa wenge bcbg inakadiriwa kuwa mwisho wa mwaka huu 2009 mwanmuziki , JB Mpiana atakuwa ameachia album yake hiyo ya "Let’s be serious." Ambayo ndani ina track 15 na moja tu ambayo ndio ya generic alieifanyia katika studio za CEO na kuwa atazindua album hiyo December.


JB Mpiana kiongozi wa kundi kubwa la wenge BCBG pamoja na group yake wanataraji kutua Tanzania kwa show akiambatana na Thsla muana pamoja na bill Clinton ingawa tarehe haijatajwa na kuwa wanaletwa na nani hawakusema ni kwa mujibu wa mtandao wa africanhit.com.




No comments:

Post a Comment