kupamba moto huku kila mshiriki akipania kuibuka kidedea. Shindano hilo
lililo na dhana ya kutangaza utalii nchini Tanzania, linatarajia
kufanyika siku ya Ijumaa ya tarehe 20 mwaka huu.
jijini hapa, tayari waaandaji wa mashindano hayo makubwa wameshabandika
matangazo kila kuna ili kuwapa watu habari kuhusu tukio hilo.
litafanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort, hoteli mpya na yakisasa
mkoani Tanga iliyopo maeneo ya Sahare.
pamoja na BREEZ FM RADIO,onyesho la miss utalii linatarajiwa kuanza
majira ya saa mbili usiku huku kiingilio kikiwa ni 25000.
kutoka wa Kassim, Maunda Zorro, Steve aliyewahi kutamba kwenye wimbo wa
Blue wa tabasamu pamoja na Price Mwinjuma Muumini akiwa na kundi zima
la Bwagamoyo International band lenye maskani yake jijini Tanga
Tanzania.
No comments:
Post a Comment