BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, November 25, 2009

TOP FIVE BONGO STAR SEARCH KWENYE ALBAMU MOJA


Unawakumba jamaa hawa alitinga kwenye ile top five ya wakali wa BSS kwa mwaka huu, hapa namzungumzia Mshindi namba moja Pascal Cassian, Jackson George, Peter Msechu, Beatrice William na Kelvin Mbati.

Basi yule meneja na kiongozi wa kundi la Tip Top Connection Babu Tale ameamua kuwaingiza studio wakali wote hao kwa pamoja waweze kufanya album ya kufa mtu.

Akiitonya VIJIMAMBO VYA TANGA Babu Tale alisema anaamini jamaa wana uwezo mbaya hivyo hawezi kuacha vipaji vya vijana hao vipotee hivi hivi hivyo basi anatarija kuwaingiza studio waweze kurekodi nyimbo zao ambazo ataziweka kwenye album moja.

No comments:

Post a Comment