BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, December 20, 2010

AT NA GELLY WA RYMES WALIVYOWASHA MOTO JIJINI TANGA!!

AT akiwa jukwaani akiwapa burudani wakazi wa jiji la Tanga katika show yake sambamba na Gelly Wa Rymes iliyofanyika kunako ukumbi wa Fax Night Club, show iliyoandaliwa na redio Breeze Fm ya jijini hapa.

Gelly akikonga nyoyo za mashabiki wake waliohudhuria kwenye show.

Mashabiki wakijirusha vilivyo wakati At na Gelly walipokuwa jukwaani.

Dj Bob Nass mwenye fulana nyekundu pamoja na Amirado, wote ni wafanyakazi wa redio Breez Fm iliyoandaa show.

Halaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! Mashabiki

AT na Gelly walipokuwa redio Breez katika mahojiano kabla ya show.

Hapa ilikuwa one to one na mtangazaji.



No comments:

Post a Comment