BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, December 7, 2010

ROMA- SHUKRANI ZAKE ZA DHATI.

2010 ndiyo hiyo inakwisha…asante Mungu kwa kutupa pumzi yako hadi sasa, tunakuomba uwarehemu na kuwapumzisha kwa amani wale wote waliotangulia mbele ya haki (KIDOLE CHA MWISHO JUU )….AMEEN….
Napenda kutumia nafasi hii kufanya hiki ambacho pengine sikuwahi kukifanya kwa njia hii hapo kabla…..
ASANTE SANA CLOUDS .FM, KWA MCHANGO WENU MKUBWA KATIKA MZIKI NA MAISHA YANGU KWA UJUMLA…. HAPPY BE LATED BIRTH DAY NA MUNGU AWABARIKI SANA….WOTE WAFANYAKAZI WA KAMPUNI HIYO….sitaweza kuwataja wote, but kwa niaba ya hawa nitakaowataja watawakilisha wengine…

ADAM MCHOMV.…braza u knw wea we from…thanx sana kwa sapoti yako mzaz…nakumbuka wewe ni mtu wa kwanza kukukabidhi ngoma yangu ya 1(TANZANIA)ilikuwa kitega uchumi jumapili kwenye total request…ukaitambulisha kama suprize kwenye hot 3 siku ya jumanne…hahahahaha sitaisahau siku hii, nakumbuka ulimwambia fetty na b12 (kwa sasa anajiita navigator) wasikilize neno baada ya neno ktk ngoma hiyo…na huo ndo ukawa mwanzo wa ROMA hadi leo tunapeana support, thanx bro na Mungu akubariki sana mwanangu.

B..TWELVE…twangala twizzy una nafasi kubwa sana kwenye mziki wangu…u knw it son..wewe ni mtu wa kwanza mimi kukupa kazi zangu za ki – underground… hahahahaha daah zamani kidogo, nakumbuka 1st tym tunamit nakukimbilia kwenye bus alfajiri ukitoka tanga, mi nilikuwa nimetoroka shule (hostel), nikakukabidhi track zangu huku abiria wananishangaa ninavyokwambia, dizain oyaaa bro ndo ngoma zangu hizi uskize, aaf unambie zipoje!! hahahahaha hadi bus likaenda kunishusha mbele kabisa huko, nikarudi shule kwa mguu...nikiwa na imani zile ngoma zingenitoa but hata sijui ziliishia wapi hata sikuzisikiaga…nway sikukata tamaa, na leo umenifanya niwe ROMA… I do apriciate u son GOD BLESS U…n thanx 4everythin…

DJ…FETTY… mdomo wako umeonekana una Baraka sana, kwani kila ngoma yangu uliyoitambulisha kwa kinywa chako, ilifika mbali…mr..president…pastor…mechi za ugenini…BILA WEWE NISINGEFIKA HAPA PENGINE nakuheshimu sana…unanitendea haki…lakini niseme neno gani kumaanisha wewe ni muhimu kwangu? Ni jibu gumu kulipata…fetty mungu akupe maisha marefu yenye heri na fanaka…sauti yako imenifikisha mbali sana trust mi…mmwaaa lav u sister…

NCHA KALI…hahahahaha daaah bro mi siongei chochote kwako, zaidi ya hiki…WEWE NI “R” katika “R”oma…”R”UBEN… najua unajua ninachomaanisha bro…wewe ni zaidi ya WOTE…ulinitabiria mengi na sasa nayaona yanatimia….kila ninapotaka kufeli ukitia neno lako tu najikuta nafaulu…am countin on u always son…luv u

MULLY B & ARNOD KAYANDA….mully b thanx sana jamaa…kwa muvments zote tunazofanya…nakumbuka sana msemo wako dat SHOW THEM THEY HV 2PAY U…hahaha naliona hilo nw, limetimia coz nililifanyia kazi sana…thanx again….mwanangu kayanda miili yetu inafanana sana, but nasisi tutanenepa siku 1, hahahahaha am kidin u knw…support yako inaonekana sana kwangu..nathamini mchango wako mzazi usichoke kuninyoosha pale ninapopinda, happy birth day clouds fm again….

DJ..STEVE B….naithamini mno mikono yako, inanifanya nisikike na kujulikana mbali sana, huwa najisikia furaha mno unapopiga ngoma yangu au ngoma yoyote kali..nafurahi tunavyoishi poa nawe…unanifundisha mengi na naahidi kuyafanyia kazi…am nothing without u… still nahitaji support yako son….we go harder!!!!!

SUKA…..muda mwingi nisingefata unachoniambiaga pengine nisingekuwa hapa nilipo…basi naahidi nitaendelea kuyatenda yale unayoniambia…..itz obviously u always stand 4mi…n a promice u, a wont lechu down jombaaa….

GADNA & KIBONDE…challenges zenu zinanijenga sana…na najifunza mengi kupitia ninyi..asanteni sana brazaz….Mungu awaongezee pale mlipopungukiwa…ameeen
BABRA HASSAN….umenifanya nijulikane na wabunge, mawaziri na viongozi wakubwa, maana wengi husikiliza kipindi chako (POWER BREAK FAST) thanx sana…bila kumuacha braza GERALD HANDO na BONGE pia, mchango wenu nauapriciate mno, unanijenga haswaa kisanii na Napata x- posure ya kutosha, kupitia nyie....sina cha kuwalipa….Mungu awabariki mno…

DINNA & GEA….hahahahaha mashosti hao……asanteni sana kwa mchango wenu…mnapotaja jina ROMA tu, inakuwa ina nguvu (impact) sana kuliko wengine, maana kundi linalowasikiliza ninyi nalihitaji sana kwenye mziki wangu, hahahahaha ipo dip sana hii…kazi njema bana ndugu zangu…..

ANTONIO NUGAZ…..tanga moja mwanangu uwongo? Mungu kaumba hajaumba??? hahahaha pamoja mwanangu, tumetoka mbali unalijua hili, tu majirani wema sie atii…asante kwa support yako ubarikiwe sana…..

SUDDY BROWN….sasa wewe sasa daaah!!! sijui nisemeje,… hebu nisaidie…..toka nilipokufahamu sijawahi kujutia kukufahamu huko....wewe ni kila kitu kwangu, kwani huanzia kupitia kwako, ndo huwafikia wengine hao, hahaha u knw wat I min? Piga kimya…. thanx sana mwanangu suddy…. soory pia coz nakufelishaga sana unajua hilo, siko perfect bana u knw men….
SHADEE…..eee bi shosti huyo…tanga 1 mwanangu au siyo? Thanx daughter...pamoja sana 4 everythin vuvu…rrraaaaaaaah

DJ..BULLAH…mzaz a do apriciate u sana thanx 4 ol…kuanzia show yetu ya kat de luna fiesta…safi sana unanijulia ile ile mnyamwezi…pamoja bullah…mchango wako ni mkubwa pia especially dis fiesta 2010…thanx….

DJ…ARON…mzazi upo? Thanx too aron…tunapomit mara kwa mara tunakuwa na story tofauti na mziki…hii ni kwa sababu ya ukaribu na heshima tunayopeana thax son…unanisaidia mno braza….

DIVA & ZAMARADI…..zamaradi mketema…mi jina lako tu….hatucross sana na wewe bt pale inapotokea tu, hufanyika chochote kila kinachomake head line…hii inanikuza na kunijenga pia asante sana…lav ness lav…diva yoo…ajhajhajahjhajhajha…nini nitaongea kwako hadi watanzania wanielewe na harakati zangu hizi…?but mi ndo nafaham ukweli wa mchango wako kwangu…nasema shukrani mamaa….twende sawa tuu…..

BAGHDAD…..since agt to knw u…..2mekuwa 2kishauriana mengi mazuri yatupasa kuiendeleza hiyo hiyo nzuri pia…nakukubali sana kwa kile ufanyacho mwanangu na asante pia kwa msaada wako…kazi njema
JUMA DEREVA WA PRIME TIME…..wengi tuna msahau huyu mtu…ni mtu muhimu kwa wasanii wetu na wadau wengine pia bro unatusafirisha salama katika tour zetu, siku zote ulikuwa na una uwezo wa hata kututumbukiza kwenye uso wa semitrela, hahahhhhhaha hatuna budi kukushukuru asante sana juma…najua unanidai… ASANTE JUMA TUMEFIKA SALAMA ndo neno ninalokwambiaga kila mkoa tunaofika kwa show….

FAUZIA… uso wako mda wote umejawa na tabasamu zuuurii, kama moyo wako ulivyo mzuri, endelea hivo hivo dada angu, asante kwa kunilea vema…big boooos napenda kukuita hivo unalijua hilo…

SEBASTIAN MAGANGA…kabla sijatoka kimuziki, nilikuwa na drim nyingi nawe, ikiwemo kufanya inter view pa1, bt nw dayz hukikalii tena kile kiti...nway muda wowote niwapo nawe, nachukuaga mengi frm u, coz u genious son, thanx kwa kuniongelea vema….. hahahahaha nakuenjoy sana blaza…

P…JAY…mzazi nikikuona nakumbuka lile panga ulilolishika kule mkuranga hahahahaha unanikubali nami nakukubali pia…deuces…

RUGE & J.K….nguzo ya yote hayo niliyonena huko juu ni nyie…sifa zote za huko juu zianzie kwenu kwanza….God bless u …ol…

NAFURAHI TUNA KARIBIA KUUFUNGA MWAKA HUU 2010 NA KUANZA 2011…. MUNGU ATAKAPOJALIA…NAWATAKIA KILA LA KHERI WAFANYAKAZI WOTE WA KAMPUNI TAJWA HAPO JUU…NA WALE NILIOWASAHAU KUWATAJA SI KWA MAKUSUDI HAPANA, BALI NI MAPUNGUFU YA KIBINADAMU TUU...NISAMEHENI, BUT KAMA UNAWAKILISHA CLOUDS FM TU, NDO NIMESHAKUTAJA NO MATTER WAAAT
…HAPPY BE LATED BIRTH DAY AGAIN…..
DEUCES…..1
Katoliki “z ryt here…….TANGA ‘Z MA’ HOOD……..

No comments:

Post a Comment