BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, December 15, 2010

ROMA, SAM WA UKWELI NA CYRIL KUFUNGA MWAKA PAMOJA!

Msanii mkali wa Hip Hop kutoka Tanga, Tanzania anayefanya vizuri kunako game ya Bongo Flava Roma. Anatarajia kufanya show sambamba na wasanii wengine wa muziki huo ambao ni Sam wa Ukweli pamoja na Cyril siku ya Jumamosi ya tarehe 18 kwenye ukimbi wa Dar West Park maeneo ya Tabata.

Show itakuwa ya FUNGA MWAKA, ikiongozwa na Adam Mchomvu kutoka Clouds Fm kwa kiingilio cha 5000/=. Fanya kama tunakutana pande hizo.

No comments:

Post a Comment