BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, December 9, 2009

JOH MAKINI AWATOLEA UVIVU WANAOTUMIA MASHAIRI YAKE KUTENGENEZA T-SHIRT

Mchizi kutoka A-Town (Arusha) Joh Makini amewamind masela ambao wanatumia mashairi ya nyimbo zake kutengenezea tshirt , kwa mfano ngoma ya 'STIM ZIMELIPIWA' tayari tshirt zimeshatoka nyingine za 'MWAMBA WA KASKAZINI'.

Makini anasema tshirt hizo hausiki nazo na anawaomba mashabiki zake kuto zinunuwa kwa sababu hazimuingizii chochote, na tayari anashughulikia ishu za kisheria kwa ajili ya hawa jamaa wanaopiga hayo magumashi.

No comments:

Post a Comment