BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, December 23, 2009

ZAWADI WA X- MASS NA MWAKA MPYA KWA WADAU WA VIJIMAMBO VYA TANGA


Helo wadau wa VIJIMAMBO VYA TANGA najua mungu anawapenda na ndio maana hadi leo mpo kwani kuna waliotamani kuiona siku kama ya leo lakini kwa mapenzi yake mungu imeshindikana. Basi tuna kila sababu ya kumshukuru yeye kwani ndio muweza wa kila kitu hapa chini ya jua lake katatifu.
Tulipoanzisha VIJIMAMBO VYA TANGA tulikuwa pamoja na hadi sasa libeneke bado tunalisongesha. Basi niwatakie heri ya sikukuu ya X- Mass na Mwaka Mpya
Mohammed Hammie Rajab
Production Manager
ANKO MO BLOGSPOT
S.L.P 6184
TAMGA, TANZANIA
Phone: +255719000010

No comments:

Post a Comment